Zifahamu mbegu bora mpya za mahindi zilizothibitishwa

Ndugu mkulima, ili ufanye kilimo bora na cha kisasa cha mahindi, Mogriculture Tz inakuasa kuachana na matumizi ya mbegu za kienyeji, kwani mbegu za kienyeji zina mavuno madogo sana na zinachukua muda mrefu sana kukomaa na nyingi zinashambuliwa sana na magonjwa. 


 
Habari ndugu msomaji wetu karibu tena katika mwendelezo wa makala zetu za mafunzo ya kilimo bora na ufugaji wa kisasa kila Jumatatu ya kila wiki. Leo tumekuandalia makala hii ya Mbegu bora za mahindi hapa Tanzania. Katika makala hii utajifunza mbegu bora mpya mabalimbali za mahindi zilizofanyiwa tafiti na vituo vya utafiti wa mazao ya kilimo hapa Tanzania. Kwa kila mbegu utafahamu kituo cha utafiti kilichozalisha hiyo mbegu, mahali kilipo na sifa za mbegu husika zikiwemo: muda mpaka kukomaa, uzaaji na uvumilivu dhidi ya ukame na magonjwa. Kumbuka kuwa hizi ni miongoni mwa Mbegu bora zilizotangazwa  na Kamati ya Taifa ya Mbegu Machi 2016. Ungana nami hadi mwisho, karibu....

Mbegu bora za mahindi
 
Kituo: Selian Agricultural Research Institute - Arusha
Mbegu: Selian H215
Sifa za mbegu

Kituo: Kituo Cha Utafiti Ilonga – Kilosa Morogoro
Mbegu: 1. WE4106
Sifa za mbegu

2. WE4102
Sifa za mbegu

3. WE4110
Sifa za mbegu

4. WE4114
Sifa za mbegu

4. WE4115
Sifa za mbegu

5. WE4112
Sifa za mbegu

Vituo vya utafiti wa mbegu bora za mahindi


Kituo: Kituo Cha Utafiti Tumbi - Kibaha
Mbegu: 1. T104
Sifa za mbegu

2. T105
Sifa za mbegu

Kituo: Aminata Quality Seeds & Consultancy Ltd - Tanga
Mbegu: 1. NATA H401
Sifa za mbegu

2. NATA K 8
Sifa za mbegu

Kituo: Krishna Seed Company Ltd – Babati Manyara
Mbegu: 1. Krishna Hybrid-1
Sifa za mbegu

2. Krishna Hybrid-2
Sifa za mbegu

Kituo: Meru Agro- Tours & Consultancy Co. Ltd – Arusha
Mbegu: 1. MERU LISHE 503
Sifa za mbegu

2. MERU LISHE 511
Sifa za mbegu
 
Kituo: Iffa Seed Company Ltd - Arusha
Mbegu: 1. Kaspidi hybrid
Sifa za mbegu

2. Kisongo hybrid
Sifa za mbegu
USHAURI: Ndugu mkulima, ili ufanye kilimo bora na cha kisasa cha mahindi, Mogriculture Tz inakuasa kuachana na matumizi ya mbegu za kienyeji, kwani mbegu za kienyeji zina mavuno madogo sana na zinachukua muda mrefu sana kukomaa na nyingi zinashambuliwa sana na magonjwa.  Badala yake tumia mbegu bora ili kuendeleza kilimo nchini na ustawi wako kiuchumi.

Zifuatazo nii makala zingine zinazohusu mahindi ambazo tulishaziandika (bofya ili kuzisoma):
Ahsante kwa kuwa pamoja nami mpaka mwisho wa makala hii. Je umejifunza chochote leo? Tuandikie comment yako hapa chini, laini pia usisahau ku-share ili kuwajuza wengi zaidi. Mwisho kabisa nikutakie mwanzo mwema wa wiki na nikukaribishe tena katika makala yetu nyingine Jumatatu ijayo panapo majaliwa.

Labels: ,